HALIMA MDEE ATOA KAULI NZITO KUHUSU MAUAJI YALIYOTOKEA MWANZA
The headliner0
Watu Mbali mbali Wameguswa na Kifo cha Kamanda wa Chadema Mawazo Ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita... Hapa chini Nimekuwekea ujumbe kutoka kwa Halima Mdee aliondika mtandaoni:
"Ameuwawa Kwa Sababu tu ya Uchaguzi wa Kata!!! Damu yake Haitapotea BURE!!! Ipo siku, Wanyonge Watanyanyuka" Halima James Mdee
Post a Comment